Admins @Deorro

Nimetoka uko mukuru kwa zuckerbeger kuna page inajiita kenyatalk uko and its sharing nearly all threads from here.Kila kitu watu wanapost hapa iko uko.Unaitambua???
Cc.@Uwesmake mtu mwenye alikuita Randy man aliona momo zako uko

momozAA!

Its true, i was sametimes logging into my account through mukuru

its the reason we got so many NVs i guess

wacha!!! ata supper ya @Kihii Kiaganu iko uko…

wameshare vitu mob sana…watu wa fb wakiona thread za kihii kiaganu watatubeba ufala sana

7 Likes

Very correct

1 Like

[ATTACH=full]90038[/ATTACH] Kipii ni kipii tu…

7 Likes

Weka link :smiley:

Kitunguu ya admin bwana

Sweeeep

Seconded

kwani unafikiria kuna kitu ingine tunafanyanga hapa zaidi ya ufala

1 Like

mimi nili agree na admin zangu zisiwekwe huko na nimeenda nimeona zangu hakuna

1 Like

enda tu fb search page inajiita kenyatalk utaona

tukiifanya indoors si mbaya…shida ni kuiexpose kwa kila mtu uko nje

Link zingine watu huitisha ni za nini? Ni uvivu au ni ufala tu? If you go to facebuk and search kenyatalk utaona mbisha ya momo hapo ujue umefika

1 Like

Meffi, you thought I didn’t know how to do that? Put the fucking link.

Hio ndio inakuanga kazi ya hizi robots

This page has been there since klist i rem when i was unable to access it the first place nilienda ni hiyo page wakadai watu wamehamia ktalk kiungia saw some familiar handles after 2 weeks nikawa convinced inawesa, the mods are behind it check year 2014 and 2015

1 Like