Siyo siri app ina umuhimu wake ktk kujoin na ina raha yake, nauliza kama app ya kenyatalk hipo naipataje, kama haipo vipi utaratibu wa kuwezekana kuwepo?
Asante
Siyo siri app ina umuhimu wake ktk kujoin na ina raha yake, nauliza kama app ya kenyatalk hipo naipataje, kama haipo vipi utaratibu wa kuwezekana kuwepo?
Asante
bado tunachapa code…ngoja kwanza
Jibu ni kuwa haipo na haijawahi kuwepo.
Zoea tu mkuu.
Hapa bado ni “kijijini” hawajafika “mjini”
Me Web si injoy kabsa hadi wafanye hima kutengeneza app kwakweli
Hawana app hawa
Nangojea mkuu
Asante
Swali lingne je kuna uwezekano wa kupatikana, yaani mpo katika jitihada za kupatikana?
T
Tuwangojee labda watakuwa tayari kutupatia njia muafaka zaidi ya web, yaan App kuwapo.
Kwa kweli, APP ina raha yake.
Sawa mkuu acha tuvute subira
Asante kwa kuwa mvumilivu kama mimi, maana hata hyo ndyo kauli mbiu ya #JFTZ
Hahah!!!
Wakenya hujifanya wajanja sana lakini kwenye hili hawana lolote kabisa…bila apps itakuwa ngumu kuvutia watu wengi
Kiongozi nadhani hapakuwa na haja ya kulifanya kuwa swala la uKenya… kukosekana kwa App ya KT linakuwaje jambo la wakenya wote [generalization]… wamesema haipo ila wako kwenye utaratibu wa kuiweka na wameomba subra.
Yeah itakuwa ngumu, lakni ngoja tuwe na subira kdgo, labda watakuwa na jibu sahihi.
Kumsamehe aliyepitiwa au kutokujua alichoongea ni busara (msamehe), ningependa tuwe wapole ili tuweze kupata utaratibu zaidi.
Asante.
App zinawashinda wengi sana! Hata Nairaland pamoja na ukongwe wao wote lakini hawana app inayoeleweka. Ukiidownload ni kama umeweka virus kwenye cm, haijulikani inatoka wapi inaenda wapi.
Muungwana Ni vitendo
Mvon