@admin CHANGAMKA!!!!

[ATTACH=full]52895[/ATTACH] @admin kuwa mjanja na wewe pia uzindue mradi. Wacha kuka hapa kiholela mbweee. Zindua mradi hapa kwani watu hapa hawana lolote ki maisha. Walevi/wapenda kula watoto/umalayah/kujigamba.
Mfano jamii imezindua…
[ol]
[li]Mtandao wa JamiiForums.com umezindua rasmi mradi wa unaowashirikisha viongozi wa kuchaguliwa(hususani wabunge na madiwani), Serikali(Halmashauri) na Wananchi katika kurahisha upatikanaji wa maendeleo.[/li]
Mradi huu unaotambulika kama “Tushirikishane” una malengo ya kuwawezesha wabunge wa kuchaguliwa kutekeleza ahadi walizotoa wakati wa uchaguzi kwa urahisi.

Pia Tushirikishane inalenga kuzisaidia Halmashauri kuboresha utoaji huduma za jamii kwa ufanisi zaidi. Mwitikio(maoni, ushauri na kero) wa wananchi katika mnakasha wa Jimbo/Halmashauri utachukuliwa kwa umakini na viongozi hawa ili kuhakikisha mrejesho unatolewa kwa wananchi.
[/ol]

U

Malipo ya 5k kwa mechi ya mpira hayana mwelekeo. Na JEE na hawa ma dada wa hapa @Guru hawajui mpira?? Utawafanyia nini ya maana

P

Wangapi hapa waliview kipidi ’ Tushauliane ’
KBC TV…the program that MPs didn’t like

U

Kumbaff!!!baki huko jamii forum hapa tuko sawa tulivyo.

@admin = @Randy

S

Tushirikiane ni mradi safii kutoka jamii forum nakwambia. Utaipata YouTube

Kila country na solutions zake.

Y

Umezindua mradi wowote kwenyu? Kama jibu ni LA, funga lako nenda zako. Usitupandishe temperature ivi ivi.Hatuna electric coil ndani mwetu.

hiki kimtu kinasema nini. swahili.dll missing

walifanya ivo juu serikali yenu haina sites kama opendata.go.ke, mzalendo, etc.

This shows how inefficient you are.