huku ni wapi?
Hii ni snack banae, 2 ribs …better be like 8 other courses coming
Ha ha ha, nilianza na some fruits, hizo lamb chops zinanitosha.
Wewe ni omwami mwitu
Wapi ugali?
At a certain age, you just eat to live mkubwa, hatukimbilii chakula. But I eat a prober breakfast.
Civilised people eat potatoes (e.g mzungus, kikuyu). Anyway ulilipa ngapi hio lunch?
2K, three courses.
This is too heavy ndugu😀Sasa dinner untakula nini?
Siwezi lipia chakula Thao mbili Na nikose kuona some roasted goat ribs, kachumbari Na ugali kwa menu. Fuck experiences. Hio Ni pesa ya kutosha mkono ya mbuzi mkiwa Na wasee ndio neno lisiharibike mlipo. Anyway to each his own.
Circumstances bro, unajipata mahali hauna options.
Polenta is the name
Soup and croutons
Neither of those are a barometer for civil behaviour. Washamba ndio wana amini upuzi kama huo. Mwanaume anakula viazi for supper na mwenye anakula chips hawajaachana mbali.
Next jaribu Fogo Gaucho uwajenge 3200 ukule minofu mpaka useme tawe. But don’t fall for their salad ruse. They will politely direct you to their salad table first ndio ushibe usirarue minofu. Janja sana hio watu. Politely decline Na useme walete nyama fasta fasta. Ikiwezekana beba wife muende na yeye ndio at least ukuwe Na mtu wa kupiga story between cuts. Usikule pekee yako kama mlafi vile umekula Leo.
Stop being a moron. Not everything revolves around ugali
Sijakuelewa
Nikikupata wewe kama mwanaume amemea nywele ndani ya pua na maskio ukila viazi for supper ndio tutajua where everything revolves.