Accident report on Limuru Rd @Ndenderu near police station, details n pictures to follow
a lorry ran into several cars. Many feared dead.
Crazy traffic jam.
[ATTACH=full]46828[/ATTACH] [ATTACH=full]46829[/ATTACH]
wah! pole kwa waadhiriwa …
kweli hii kitu inakujanga kama mwizi
hii weekend imefanya mambo kweli
A lorry also slammed into three vehicles at bluepost thika
Aaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaai, can we ban driving for a week jamaneni tuone kama watu will go back to their senses? This is becoming too much…
[ATTACH=full]46832[/ATTACH]
[ATTACH=full]46833[/ATTACH]
[ATTACH=full]46834[/ATTACH]
Waaa…RIP I think July and August ndio accident zinakuwa mingi ni poa kuavoid traveling anyhowly…kama si lazima utoke from point A to B kalisha makende mtaani…Drivers wanafaa kukaa rada…demons zimefunguliwa… blood lazima ijae kwa tank yao…
W
You are a village elder for God’s sake. Sasa ukiattach pichas bila captions tutajua aje ni wapi? For that and that alone, serre!
ni hiyo hiyo ya Ndenderu
Before one is issued a driving license anafa kufanyiwa thorough test…
Jana @It’s Le Scumbag Alimuambia juu ya driving school moja hapa mombasani ambayo ni guaranteed pass.
Corruption is our undoing.
Channia buses are still on the road even after causing two fatal accidents on mombasa road. Zingekua niza peasant the whole fleet would be grounded
again??? what the fuck is going on these last 2 weeks???
Nilifanya driving school yangu royal or glory…can’t remember…naskia mwenye hio driving school alikuwa na connection na wakubwa wa traffic police…siku ya test tulipitishwa wote tukapewa interim even though sm of us tulianguka theory pale kwa meza
That was the guaranteed pass we talking about. We can not be sure whether ulipita ama ulidunda.
Driving test in kenya.
Test 1- open M/V door and get in.
Test 2- open M/V door and get out.
Congraturations son, you have passed the exam.
Lorry lost brakes @kabuku, more than 16 vehicles crashed
That was the guaranteed pass we talking about. We can not be sure whether ulipita ama ulidunda.
What kind of truck, semi trailer, faw or FH?
channia ni za nani?