Traffic snarl-up on Nairobi-Nakuru Highway following an accident involving a saloon car and military vehicle at Kinungi.
[ATTACH=full]206317[/ATTACH]
hiyo picha ume-frame poa sana:D:D:D:D:D
hehe, iko watu watadownlodi
Siku hizi Harrier ni Salon? ama nimimi siyui?
nitpicking
Imeungua ikaisha
[ATTACH=full]206322[/ATTACH]
in pic 1 if guys had fire extinguishers they would have saved it.
yikes!
cheki raia vile wako mbali, they think it will explode, hollywood has really brainwashed us
hehe hata mimi siwezi karibia
:D:D:D:D:D:D
Even in times of calamities bado tunasafisha cornea…asande sana
[ATTACH=full]206323[/ATTACH]
Macho inangara kabisa [ATTACH=full]206324[/ATTACH]
[ATTACH=full]206325[/ATTACH]
as usual fire men arrive when its too late na bado they will charge you
Yaani this feels like deja vu. @Meria Mata niko sure umepost accident alert ya Kinungi before mara kadhaa
Yaani wazito mnaona accident wakati mimi nasafisha mecho kidogo na iyo kitu imevaa skirt ya samawati…
knocked knees tamu sana, hiyo accident itabidi imengoja kwanza
Hehe unaonaje hiyo knocked knees?
only in this fillage, baadala muone harrier ya 2.7mirrions imeungua tu hivo mnaona vitu zenu
In a totally unrelated issue, where did [COLOR=rgb(44, 130, 201)]@DeliciousShiko go to @Luther12 ? …Rumour has it she was last seen in Turkana
Hii kijiji imejaa mawazimu!