Abnormally high tides in mombasa

Msa is experiencing rough waters and high tides at this time of the year along the coast. It is recommended you stay out of the ocean during the high tide hours which is normally between 3pm to 6pm for the next couple of days.

Even strong swimmers have had issues, please avoid trusting those tyre tubes if you arent a strong swimmer. Avoid if the tide is high.

Happy Safe Holidays.
[ATTACH=full]53466[/ATTACH]

5 Likes

They say that every day is a holiday in Mombasa. Lakini maji wachia akina @mukuna

2 Likes

Jana watu wawili wamedrown huko tiwi

Its the moons effect. Yesternight at the Aberdares you could almost touch it…it was beautiful. I am sure today it will be glorious as it approaches to a full moon

4 Likes

Mukuna ni kama woria… akienda bafu na beseni ina 5lits, anakuangalia ni kama anataka umuokoe asidrown kwa hiyo beseni.

6 Likes

:D:D:D

Poor dolphins. I hope they don’t drown.

1 Like

Correct it’s a Full Sturgeon Moon hence the unusual high tides. Tomorrow Friday 19th August is the most dangerous time to swim. It’s prudent to avoid the high tides if one can.

2 Likes

@Meria Mata
Tune Inooro…Leo ni moto

Na unafanya nini na Mukuna akioga. Nini unaona inakufurahisha hivo Mukuna akioga kwa beseni ya 5 liters?? :D:D:D:D

1 Like

:D:D:D Mukuna ni lazima kuwe na mtu anamlazimisha aingie kwa bafu. Saa hizo umeshika ka nyahunyo ndio anaweza oga. Kwani hujui Mukuna ni water resistant kama ile samsung ya s7?

3 Likes

kwani inooro hawana online link? to livestream

There is an application for Royal Media Services. …
Hii program leo ni poa, guka on fire !!!

Recording ni muhimu saa zingine tuko pahali kwa mikutano

1 Like

lakini kutokuoga kwake kulimuokoa , otherwise angeumia vibaya sana, scales husaidia saa zingine that’s y reptiles are very resilient .

1 Like

Unachekesha. …

:D:D:D:D

Was locked in, nindaigua uhoro wa nyee na heke

1 Like

where can i get past shows hehehe

I HOPE @It’s Le Scumbag AENDE SWIMMING LEO