Ababu na Thirdway demands.

Wanasema they want Nairobi County governorship, Speaker National Assembly na Leader of Majority in National Assembly ndio wajoin Jubilee. Itawezekana kweli?

1 Like

Afana, hiyo nikama kusukuma punda mtremko

1 Like

Vipi ibwit…hehe naona bado uko area after kutukana admin

Kama bacteria bana, ngoja link ya tekegram nasakanyanyia wewe

1 Like

Noted.

Cc tikteta @uwesmake

We mutiso. Nikidownload telegram app mutaniadd?

Ababu is locked…

5k only.

Lakini tunaweza kupea discount. Leta 3k

Nairobi ni Sonko. Period.

Remember the mandimoni issue with Musalia? hii story ya Ababu will end with him lossing his current seat

Iyo itisha NVs.

1 Like

Pelekaa ujubilee uko. Hapa tuko tekegram

I understand he’s aiming for bigger things. But mimi hiyo hesabu ndio sioni ikiingiana.

MOU’s only apply before elections. After that watu ni kujipanga ama wapangwe.
In short, before elections you can be promised anything.

2 Likes

Pelekaa ujubilee uko. Hapa tuko tekegram

Kwaivo ababu hayuko locked?

Lakini wewe umeoa. You are not supposed kuonekana telegram

Bingwa nyeeee

Huko hamuongei siasa?

1 Like

ababu labda apewe governor wa huko budalangi, btw hio ni county gani @Okiya