A sound bar worth every cent for PEASANTS. Post not for birrionaires na watu wa JBL, Bose and others

Worth every penny…

1 Like

Kama si sayona ni chieth

Kitambo sana my dad came home with the biggest Sony Home Theater I’d ever seen and I remember staying up all night listening to a whole discography of Michael Jackson with my dad…humming to “Man in the mirror”.

1 Like

I took u for a better man

A practical mzee. Izi ni vitu za teenagers msee

5 years zinakua junks

1 Like

Hii ni downgrade ya previous models. Special feature ni hizo wireless speakers pekee

Sinatech yangu hainipei good vibes nikiconnect na TV, bad sound output lakini kwa laptop inatii.
What I have realized is a good system inaweza chuna kwa nyumba na ukitoka kwa mlango huskii sauti hata kidogo.

Ndio hiyo Sasa..and this system just best fits that’s description

It’s a decent sound system but afadhali uongezee doh kiasi kisha ushike S500rf