A.O.B. Thursday 3nd January, 2019.

Ni nani alikuwa anaita Kenyan males herbivore men? Uzee inasumbua hebu nikumbusheni.

@digi hizo thread zako zote leo weka hapa thanks

cc. @chiefbetika

:D:D:D:D:D:D:D…cc @uwesmake

[ATTACH=full]218124[/ATTACH]

wacha leo niulize…kwanini wanawake(wote) kwa matatu huanza kutoa pesa after conductor amemfikia kkwa uso amtingishie mashilingi?conda anaeza kuwa just one row before hers but bado kamefunga handbag.what goes on in their mind,ama their entitled selves alway think conda atawapita akose kuwaitisha juu wewe ni “msupuu”…sijailewa

https://i.pinimg.com/564x/ac/e9/97/ace9978ce6feb12788e8eb79793e6cb9.jpg

Umekua wanawake wote kwa miaka ngapi sasa?

muuuuuuuning

Hii shule ya masweep ilifunguliwa lini yawa! Pinkies mumeamua round this.

:Dmuuuuuuuuuuning

yaani hujaelewa naongea from a reporting perspective?enyewe heri ivo wameondoa 8:4:4…[SIZE=2]meanwhile bado nimekunoki[/SIZE]

The same reason anaanzaga kutafuta pesa kwa kibeti after bill imeshamaliza kuhesabiwa supermarket - anatoa tu-thao pande hii, ingine kwa bahasha, tu-hundred crumpled crumpled pande ingine ya kibeti na coins kwa lining ambayo imeraruka na saa hiyo laini nyuma yake imefika Timbuktuuuu.

:Dsi sweep even i as a woman cannot speak for all women on this or any other matter,

:Dhakuna cha kujitetea. Unatuekelea, mimi for example, when i am not driving my Mercedes GLE , :D, huwa i put my fare on the outer pocket of my hand bag before niende bus stop ama kwa pocket to avoid kufungua bag na kuexpose my dollars , Euros and some few thaos nisije nikafuatwa :D,

:D:D:D:D:D:D…exactly.mimi sijaielewa…sijui wanaonanga the teller atasema the bill is waived au???

of course wewe for example…But for real though i have been around for more than three decades and am yet to see such.and i use ma3s a lot…

Hii yako ni too vivid to be speculation ,

If i do not do that, niko sure siko solo, maybe your attention is drawn to those who do that, its easier to notice that coz it takes a longer time than when a Lady had her fare ready

yeah…which is basically almost all female nairobi commuters

Alafu anauliza till number ndio gani vile pesa hazitoshi.