This new phase, second phase operation will be so brutal that the pokots will reel from it’s mess years to come, it’s signal an end to banditry, a new era of civilization, enlightenment, education, Taunet nelel…
*reel
Hii area ni dangerous sana
[ATTACH=full]500194[/ATTACH]
Macho tu
Banditry haitaisha, its tradition. Vijana watalipa mahari na nini!? ![]()
Maghasia Pokots watamalizwa
They have to change that tradition, na si tafadhali
Wacha serikali ipipinye hizo makwendes zimekauka kama mabuyu hadi zirudi soft and compliant.
Hizi ni kelele za chura. What did phase one achieve? What was phase one objective? Rustlers kwa ground and their families are not even aware of any government directive issued. Una issue directive over mass media kwa watu hata radio hawatambui.
Just this weekend there was a coordinated three-way attack on your security forces by rustlers from the Turkana, Samburu and Pokot. Vijana wenu waliangushwa kaa njugu karanga … prompting the CS to issue the latest directive. Again like always … its reactionary. Lakini hii hutaskia kwa media. Niliwaambia kitambo … rustlers from all the communities affected will gang up. Sasa kanaanza kueleweka. Game bado changa …
Stop spreading fears, I know that place well. From Moiben which is in uasingishu to Kapsowar which is a small town in marakwet west constituency is safe. Problems ya banditry iko kerio valley which is in marakwet east constituency n it borders both baringo(tiaty) and part of east pokot. That’s where the menace is. Wacha porojo.
mzito juu saii mko na pesa betwin your selves sii you just buy from each other cattle , vita iishe now you do genuine biashara mdau . am sure you have stolen enough n a mko na pesa nyinyi wote , si mfanye biashara sasa , without blood shed , kwanza wewe you should lead the reconciliation, ama niambia yule yeloyelo wa nakuru mtc akukate makagaree{ uliza @Ngimanene na matharo makagare ninini? ]
Sijasoma…but najua it’s your usual guesswork
Good
How many were killed
Not anytime soon. Watu wa ocha hawaambiliki