In 2025, if you still think of making money legally in Nairobi, jua wewe ni fala sana.
Nyundo hata mimi nadai connection ya hizo pesa za carding buana…FBI nita deal nao. 500k per hour…
Nitachapa kazi wiki moja tu
please stick to matatu business…
wewe sio tapeli…
lakini naweza kushow form ya Crypto
Leta hio form upesi. Nadai V8
Drop knowledge mkubwa
If you have to wait till 2025 wewe ndie fala
Pesa haijui kesho.
Jaba tunazionea 18
its a crypto investment fund called DFC
you invest $300 to earn $8 daily
8 dollars …ni 1300 daily?
So goal yangu ya 500k daily ni moshi tu
You mean kama zile pyramid schemes za Public Likes and izo mingi sana imsink na doo ya watu?
Pandora’s box
Mimi naghula na kalemeno kaa nonzenze
300Ă·8 = 37.5 Days to recoup your investment.
Kuna kufinya likes or photos or watching videos or refering people?
Niaje kiplangat
Hehe, hapo hakuna mbirrions.
RIP in advance
Tema hio mate mbaya shifo
Nikufinya laptop dollar zinamwagika.
kinda
Think,think