2 naked men climb a tree outside Nakuru police station

[ATTACH=full]501050[/ATTACH][ATTACH=full]501051[/ATTACH][ATTACH=full]501052[/ATTACH]

@uwesmake umeona hao naked Men?

Hizo ni adhari za kuvuta mbagi mbichi

Mbagi ni nini

Hawa wanataka kuishi jela. maisha imekuwa ngumu kenya hii kweli.

OCS alete powersaw akate mti. iko nini !

Is it a crime to climb up a tree? Ina husu polis vipi mtu akipanda juu ya mti?

Huoni wako kwa police station?

Wacha kupanda. Hata kujitupa chini kule ulikuwa ni hatia…ngori…