where can i get a certificate.

Hello broders.I planning to go abroad for a job opportunity in Feb.The job requirement is to have a degree in Computer Science from a recognized institution but i dont have one though i have the skills .Its an opportunity i cant afford to lose so i need to knw where i can get a fake certificate that looks real.

ningekusaidia lakini juu hii ktalk imejaa polisi, dci na conmen nakuadvice rudi tu shule usome upate hio degree

@Dr. Kerre(PhD) niaje? @Jimit sends his regards

Vile daktari amesema hapo juu…hii ktalk kumejaa spies ka shit… don’t go that way…Mimi nishaitrackiwa Hadi shagz kwetu wakitumia zile post nilikuwa nasema…Kuna handles zinanifollow ka tatu hazijawahi comment ama kulike anything in kenyatalk… kazi yao ni kufuatilia threads closely…by the way what happened to @tall mnyama everywhere

Watu wameogopa buda sasa itabidi usome.

[SIZE=5]The hard way is the only way [/SIZE]

A bit concerning that a doctor knows a thing or two about forging certs.

Tafta mtu mwenye ako uni zile ya chini kama aviation college umjenge kama 500k. Usiforge ya uni bila kuwekwa kwa list juu utashikwa after background checks.

He is also a “health” doctor . @Nyonganexol Monkane can attest to this .

How despicable you are! Academic cheating neighbours murder in my books. This should be an insult to any professional worth his salt.

I’ve now confirmed, from the comments on this thread, that lots of people on this forum are cheats and crooks. Yes, I can tell professionals and cheats apart from their posts, besides such dead give-aways as the responses above. For shame!

fuck off

Kama wewe ni IT expect ,you should be able to make a good certificate bila kusumbua elders

Enda River Rodi kwa hizo ma base za printing wakutengenezee ya Inoorero University.KCA University walipoteza data za ma students including graduation list when transitioning from Inoorero University.Usijaribu za other Universities unless you get an inside man preferably in IT who can sneak your name into the graduation list.The shorter your chain of contacts the better.

Umewahi skia background checks?

Doctari … dang!

Madhake alimrusha nje

They don’t follow you for nothing [ATTACH=full]488080[/ATTACH]

:D:D:D:D:D:D:D:D nilikuwa naskia inorero university huko ma 2000"s kumbe hio ndio kca university hehehe. Siwezi kukupatia kazi kwa firm yangu kama umetoka uni inaitwa inorero

Kuja inbox

1 Like

Manze