What a courageous peddler ❣️

What might have happened to this guy[ATTACH=full]317959[/ATTACH]

Heheheee… Jeuri kamili. Lakini hiyo herpes zoster ophthalmicus ikilipukia lupango ajue hilo jicho ni kaput.

:D:D:D

Alikuwa amevuta kidogo

The fucker is quite logical

:D:D:Dman makes more sense than these hypocritical bible thumpers…

I dont smoke this holy plant, but i also don’t like the way peddlers are handled. Whats wrong with this plant , that makes people suffer while others perish ? just because of peddling and not consuming?.

Sijawai helewa watu huwa na shida gani na bhangi. Mi uvutu several joints a day … daily na nachapa shuguli kaa kawaida hata hakuna mtu anashtukia Niko high as fvck. Watu was pombe naonanga wakianguka tu na visanga kibao.

Hio polis inauliza swali za upus… pengeni iliua huyo ganja smuggler for his riches.

Nimeona msee alikuwa schoolmate hapo akichukua video.
No wonder ako na wamama coz alikuwa na umama sana

:DMokamu uyu, ndio maana ata wewe unakuanga na umama hivi.

Kimiee hau

very eloquent

Wachana na bhangi kijana juu hata inaonekana umeanza kuchizi.

“enyewe pesa niko nayo kama mwizi” :D:D