Wangapi wameskia...

[MEDIA=twitter]1483693964243116041[/MEDIA]
[MEDIA=twitter]1483801894241947649[/MEDIA]

Kuna jamaa aliendea hio laini katka hio harakati ya kuregister akabadilishiwa laini ya equitel,na hio ndio alioshwa 114k kwa bank account

Hao wajaruo ni waizi

Hao majambazi wamekuwa hatari sana with some serious guts siku hizi. Kuna wengine walienda kwa farm ya my old lady ati wanauza Airtel. Hadi na gari banae. Kidogo wakaingiza Matha box wakamuuzia Airtel line. Wakamshow acha tu fix hio line kwa simu kumbe katika Ile harakati wali swap line yake ya safcom haraka haraka na nikaa walikuwa wameshikanisha pin. Bahati immediately they left she tried to make a call … iendi thru’ anashindwa ni network nini. Even more lucky for her grandchild wake, alikuwa hapo juu PS the all time … ndio haraka alishikanisha mukoro amechezwa. Faster faster waka call cousin wangu hako head office pale safcom. Alipata doo ya mpesa inatolewa na pia mshwari … about 480k total but luckily again she was able to stop the transactions. Tangu hio siku mukoro alifunga biashara ya mpesa kabisa.