Wanaume wa mara hatutekwi kizembe. (Picha)

Safi sana zakaria inawezekana usiwe mkuria mgita and the likes lakini ushujaa wako uliouonyesha umetuwakilisha vyema wanaume wa kanda ya ziwa… mara vita ni vita[ATTACH=full]180820[/ATTACH]

kuwahi siti kunafaa nitarudi.

Kawalipua mafisiem wenzake.

Safi sana.

Nitarudi

Urudi na Pepsi ya Baridi.

Sikomentigi nyuzi zahivi

ila sura na kichwa kinaonekana kimebeba mambo mengi mazito ya kihistori aliyo wahi kufanya na kupitia. naomba niishie hapo

Hili suala la Zacharia limejaza watu wa kitengo humu kwenye social media, wanapiga mikwara ya hatari. Naona kuna wanaomshambulia Heche kishenzi. Eti wanasema akihoji chochote kuhusu hilo jambo harudi bungeni. Hivi bungeni kuna kipi cha maana mpaka mtu akutishie hutarudi?

Kwa haya yanayoendelea basi hata yule tajiri mwingine wa mabasi aliyeokotwa ziwani sijui mtoni wahusika ni hawahawa jamaa.

@GENTAMYCINE

FITA NI FITA MURAAA.

Baada ya jana Mwenyekiti wa UVCCM Tarime, Bw.Godfrey Francis kutoa taarifa kwamba watu waliomvamia Zacharia walikua na lengo la kumteka lakini akawazidi nguvu, halafu baadae RC Malima akaja na maelezo kwamba watu hao ni maafisa wa usalama wa taifa nimebaki nimeduwaa. Ukiunganisha taarifa hizi mbili (ya Mwenyekiti wa UVCCM na ya Mkuu wa mkoa) unapata ukakasi kuhusu idara ya usalama wa taifa. Nimejiuliza hivi Zacharia angetekwa kama inavyodaiwa, na watekaji wakafanikiwa kupotea nae bila kujulikana, je RC Malima angeweza kukiri kwamba watu hao ni maafisa wa idara ya usalama wa taifa?

Jaribio hili la kumteka Zacharia ambaye ni mmiliki wa mabasi ya Zacharia limenikumbusha tukio jingine la mmiliki wa mabasi ya Super Sami, Ndugu Samson Josiah, ambaye alitekwa na watu wasiojulikana. Baada ya siku kadhaa gari yake ikaokotwa huko Serengeti ikiwa imechomwa moto, na baadae mwili wake ukaokotwa akiwa amechinjwa, kukatwa miguu yake na kuwekwa kwenye mfuko wa sandarusi kisha kutupwa Ziwani. Mmiliki huyu wa mabasi akauawa kikatili na hadi leo hakuna RC yeyote aliyejitokeza kusema watu hao ni kina nani? Laiti angewazidi nguvu.!!

Malisa GJ.

[ATTACH=full]180841[/ATTACH][ATTACH=full]180841[/ATTACH]

Bilionea nae huyu???
Ila kufa unaacha mimali kibao ndugu wagawane inauma,hata hawajui ntu nimezipata vp

Ukipitia ile JF kuu; utakuta nyuzi kibao za lawama kuwa huyu mtu alikuwa anaachwa afanye atakavyo;

Baada ya hili kutokea wale wale ndio wamegeuka watetezi wake wakuu;

Wanasiasa wa upinzani na vibaraka wao ni wadandiaji wa matukio hawana lengo lolote jema kwa Taifa letu; ni wa kupuuzwa

Ushacomment tiyari

Kwahiyo unafurahia watu kutekwa hata kama ni waovu kwanini asikamatwe na polisi kama kavunja sheria?

Hata kama Zacharia ana makosa si kuna taratibu za mtu kukamatwa na kufikishwa kwenye vyombo vya Sheria??
Wewe umeona ni sawa yeye kutaka kutekwa na hao watu wa usalama wa Taifa?
Unajiita Mwanasheria kumbe punguani tu.

Walisema nchi tumewapa!!! Washamba kweli ni washamba, wapuuzi, wauaji.

Wanafanya haya halafu wanajikausha.

[FONT=courier new]Naweza kujua kwanini nimetajwa hapa au unataka kuwaaminisha nini labda Watu au una Agenda gani nami?[/FONT]

Yaliyo sirini yamewekwa kadamnasi.Mungu hadhihakiwii