Wanaume wa Dar vs wanaume wa Kenya

Kwa muda mrefu wamekuwa wakibezwa wanaume wa Dar kwa mambo yao rojorojo ila toka nmefika humu naona wanaume wa Dar ni ngangari kuliko hawa wenzetu mana naskia wanapewa kichapo na wanawake wao sasa ni bora uwe mwanaume wa Dar Aiseeh wanaume wa Kenya ni shida

Acha dharau wewe kijana. Kumbuka upo uhamishoni huku. Unamtukana mwenyeji wako au?

Futa Uzi wako

Jana nilikuwa Dar, kuna mwanaume nimemkuta anasafishwa kucha halafu awekewe zile za bandia.

Kule Kariobangi kuna serial rapist anatishia jamii ya Wakenya. Rape sio kitu cha kufanyia jokes, lakini inastusha sana huyu jamaa anabaka wanaume tu. Kama wanaume 7 tayari wamejitokeza mbele ya Polisi kuelezea jinsi walivyokamatwa na huyo jamaa na kupigwa pumbu, we imagine ameshawala unyumba wanaume wangapi. Wengi wao till to the grave hawatasema kama wameliwa kiboga.
Poleni sana ndugu zetu wa Nairobi.

Kwanini mnapendaga hizi ligi?

Dah! Huyo jamaa akikamatwa inabidi anyongwe mpaka kifa na maiti yake ipigwe risasi 24 kukomesha kasisa mtindo huo.

Hahhahahahahahaha…!!

Usishangae kuna jamaa wengine watajipitisha hapo mara kwa mara, na kufanya jogging usiku wa manane

Mmmh aiseee

Duh hii balaa

HahahaaA U MADE MY DAY aishiiii

Ugenini najifanya mwenyeji sijali, nikikosa msosi nala shemeji.

Hahahaaa. Wanahamishia ile ligi na huku etii.

Wageni wakorofi

Ingawa mwenyeji hasemwi, mgeni inabidi uvumilie tu…

Humu sote tumekua wa Village hii inathihirisha kweli kabisa…

Cc: @Mahondaw

Shhhh! Upo kwa watu mkuu

Tupo kijijini mkuu

Tz Bongo, ligi desturi

Niite mgeni mwenye gubu nawapigia nyumban nawapigia ugenini shubaamit