sijawai kusikia kua wakenya au waganda kua wamekamatwa kwa kuingia tanzania kwa njia zisizo halali
Sijawai kusikia mkimbizi wa Kikenya,Uganda,Tanzania kwenye izi nchi za afrika mashariki
Hii inaonesha kua karibia nchi zote za jumuia ya afrika mashariki zinafanana kiuchumi na kimaendeleo
Nawasilisha
Hiyo avatar yako inatukwaza wengine kuchangia.
Mdesi
June 19, 2018, 9:27am
3
Nilivyo iona hiyo avitara yako nishikwa na hasira sana naomba nipite
Hata nikipewa billioni moja,sichangii mada
Huyu tahahira ametokea wapi tena?
Wakuu nimetoa ile avata haya twendeni mzigoni
Licha ya kuondoa Avatar haiondoi ukweli kuwa wewe ni kilaza wa Lumumba.
Mashetani wa Lumumba wakipost tusichangie tafadhali, ndiyo adhabu yao
Hatuchangamani na watu wa chama cha watekaji, watesaji, wauaji na wenye vimelea vya kidikteta.
Duuu huu si ubaguzi jamani
Tindo
June 19, 2018, 11:24am
11
Toka juzi nilivyoona michango yako nilikupuuza bure. Nyie ndio watetezi wa awamu hii mitandaoni. Kwa udhaifu huu wa hoja ndio maana serekali imeona bora hizi forum zipotee tu kwa masharti kandamizi, maana watetezi mmekata pumzi. Nimejaribu kuangalia dhumini ndani ya post yako namba moja, to be honest sijaiona.
sasa mchango wako huku kwenye forum ya ukimbizi una faida gani au unadhani ni hasara kwa naniā¦hahah haki yani nyie ni mbumbumbu