Wakenya tunaomba mtujuze faida na hasara za county system.

Ndugu wakenya tunaomba kujua ni faida gani mmepata toka muanze kutumia county system, na hasara gani mmepata. Je mfumo huu ni bora kuliko ule wa zamani?

Mnajua nchi yetu ni kubwa na iko highly centralized kitu kinachofanya iendeshwe bila ufanisi. Mnaweza kutusaidia katika hili.

Duh

Devolve the funds not the leaders. Otherwise 1/3 of it will go to them rather than the people. The other 1/3 will go to recurrent expenses to maintain them. That leaves 1/3 for development which they will eat from the people.

Pick at most 15 counties that are ran by an adhoc elected committee of 10 people in each county, all based in one office to minimize expenses. Their work is to match people’s local needs/ambition with the budget at hand.

HKMBL

Ufisadi umekidhiri kwenye huu mfumo wa ugatuzi, jambo ambalo limefanya uvutio wake ushuke zaidi. Hela za miradi zimegeuzwa kuwa malipo kwa viongozi hao, yaani allowances (travel, sitting, eating, shitting hali kadhalika malaya allowances) za kila aina…

Ebu kwanza mtuambie nyinyi majirani Watanzania, hivi mchakato wenu wa katiba ulioanza kama miaka kumi iliyopita umefikia wapi sasa? Referendum ngapi zimefanyika so far? Ama kunayo draft iliyo tayari…manake kumenyamaza upande huo nikama mliwacha au mlipata ebu na mtu.update

I agree. We don’t need 47 counties. We will never need 47 counties.

Au pengine pesa ambayo iko allocated kwa counties ni ndogo ndiyo maana inaishia kwenye expenses. Nilisikia wanapewa 15% na central goverment 85%.

CCM walisabotage mchakato mzima. Hata kwenye Referendum haukufika. Sasa akaja Magufuli akasema haoni umuhimu wa katiba mpya, tukaishia hapo.

Nimekupata. Kumbe counties zimekuwa nyingi sana. sasa sisi huku tukisema tubadili wilaya zetu 130+ ziwe counties itakuwa balaa kubwa. Itabidi tubadili mikoa ndiyo iwe counties.

Magavana wanadai wanahitaji ministers. Hao ministers wanaitisha mishahara ya juu sana na ukiangalia hakuna kazi wanafanya

Since 2013 our 47 counties have gotten on average 38% of collected revenue in the budget that is Kshs 380 billion or $3.8 billion. The lowest county Lamu gets 5 billion a year. They still collect their own local levies in the county. So do the maths in 5 years they had almost $20 billion but do you see the transformation in the counties really as thought. Yes some counties did well but most wasted or ate it all. Sijasema Nyanza.

we need 12 administrative counties max, not this tribal zoning

Lastly don’t devolve the workforce. Let the teachers, health workers and civil servants be employed by their respective service commissions at national level. The counties can advertise the various positions with the commission and fill them. That way the county and commission can jointly hire, supervise, promote, demote, suspend or fire staff under a joint service charter. That way you can avoid counties hiring relatives in droves.

Uko na cheo gani huko dar??

badilisheni katiba kwanza.

political interests will always demand more.

A very sad reality.

kaimu mkuu wa kudala-dala mademu kwenye dala-dala.

Devolution dream was real but it was shuttered