Niko Mwambatha kazi na nimemaliza kazi jana till Monday. Wadau niambieni joints naweza Enda nipunguze hizi pesa nyingi zinajaa kwa account.
Sana sana penye warembo wamejaa. [ATTACH=full]400703[/ATTACH][ATTACH=full]400704[/ATTACH][ATTACH=full]400705[/ATTACH]
Wenye hela hutafutwa aisee… Hiyo yako washa kiberiti uchome shash
Vyenye @Siyuko_Twitter amesema
Ingia Bamburi Mtambo. Kuna Mint, Sky-lounge, Divas Lounge, Samba etc.
Bamburi iko biatch aliniambia huko ni mambo bad. Wacha niende huko sasa pap
[ATTACH=full]400722[/ATTACH]
Hehehe, siko hapa kupimana kilo. Wacha nijibambe.
If you must then head to bamburi.
Mtwapa imehamia bamburi. Usiku ndio peak.
Hiyo ni City Blue Creekside?
nguruwe niaje
Poa sawa khocha. Naona Asenali leo imeshinda wanyonge
Umesema mwaka haishi bila kaswende, okimwi or both?
Pitia Casablanca utapata lanye safi
Ata wewe umetumia hio keja; huwa safi sana
Hizo zinaitisha 3k short time
Nimetoka uko saa hii. Creatures in skimpy dresses ziko rare leo
Ingia Nyali Center.
Mombasa ukuwanga overrated in matters lanye, can’t even come close to Nairobi.
Kuna time nimeenda Bamburi manze it is 9.30pm hata matatu zilikuwa zinafunga job banae.
I think talkers mob hawana clue to this new reality, bado wako zile enzi Msa ilikuwanga moto faya
Next mission. Damages ni ngapi
Watu wakisema unaexpect utakuwa spoilt for choice. Ukifika unaona hakuna kitu.