Uzi maalumu wa kutafuta beb wa JF

Hi,

Kama mjuavyo JF yetu pendwa kule kila mtu alikuwa na beb wake.

Sasa huku majina ni mapya…ni wakati wa kumsaka yule umpendaye.

Uwanja ni wenu…

Ha ha haaa…nasubiri kuchaguliwa…

Aiseee…hembu kuja kunako paul makonda

Ha ha haaa…

Umefika?

Nim

Nimefika…ila sikuoni

Nitakuja…mpaka nijue kwanza jeifu ulikua unatumia id gani hahahaha

Oh ntadum na @archduke wangu tu pamoja na kua tunetenganishwa na hili gharika

To me Hakuna zaidi ya @Smart911.

Mtoa mada anataka kapo new

Na mwenye hakuwa huko ako na ruhusa ya kupita na mmoja wa huku???

Asie na mwenza please am available

Hapana hiyo ni aina ya umalaya pia

Haha

Kwa hiyo kenya talk niwe na mbebez mpya jf kule niwe na mwengine hell no, me nikipenda nampenda mmoja huyo huyo labda azingue

My Eli79 a miss you bae!!!

Huyu ni mpya??

Mbona wa siku zoote jamanii

Mmmmmmh t nae???

Hahaha
T ni baba watoto na sio zaidi

Mh mdomo koma, haya bwana ngoja tupambane na hali zetu