Kwa wale tuliotoka JF tunafahamu ule uzi maarufu wa kupeana likes, japo tupo ugenini ila sio mbaya tukiuendeleza huku.
Mmeanza ule Upuuzi wenu Hahaha wabongo!!
JF ni JF tu.
Nimemis umbea wa mama Sabrina na kundi lake, unaupata umbea wote wa mjini ukiwa chumbani kwako daaab, mambo niiii motoooo hahaaa
Hivi JF haiwezi kusajiliwa cyria halafu tukapiga kazi kama kawaida?
Ukichanganya maji ya limao vijiko vitatu, unga wa muhogo nusu kijiko cha chai, maganda ya karanga mbichi zile nyekundu, majivu ya ndizi mshale zilizochomwa, mafuta ya mkia wa kondoo, unga wa njiti za viberiti, robo kikombe cha mkia wa pweza, na tui la nazi, unavyosoma kwa makini sasa… mi hata sijui ukichanganya unapata nini, we endelea tu .
Hahaha kwani wewe unaishi huko
Nipo cyria ndiyo kama mnataka niidajili JF huku niambieni
Sasa mbona waliopo nje wanaperuzi jf vizuri
una ushahidi?
Hahahahahaaaaaaaa
Naomba hizo likes
Jamani mm nakonda sana ujue watu niliowazoea wotee wote wapo kwenye ban la serikali
Naomba uanze kunizoea mimi. kabla hawa wakenya hawajafanya yao
Naomba na mimi mnipe Likes
Long live Jamii Forums
like
Nimepotezana na watu wengi sana
Hahahhaaaaa
na kichwahili chao kibovu hivyo wataweza kubebisha mtu kweli:D:D:D:D:D:D