Uzi maalumu wa Bloggers na wadau wa Adsense

Karibuni tuendeleze yale tuliyokuwa tukijadiliana kule Jf

Wap Chief Mkwawa wakuu

Machozi ya Simba

Jamaa alikuwa verified user kabisa na alikuwa msaada sana kwenye hili jukwaa.

Wenye mawasiliano naye wamshtue aje ajiunge na huku

ivi verified user ina maana gani mkuu, pia platinum member

Anayetumia majina yake halisi yaliyohakikiwa na uongozi wa forum

Cheo walichokipewa wale waliochangia mchango wa hela kwa kuendeleza JF

pamoja sana kiongozi

Karibu sana, usimsahau na jirani yako

Nimeshawaita wengine kwenye hii kambi ya UNHCR Kenya.

kweli aiseeeh!chief mkwawa popote ulipo ukuje ugenini kumenoga.elimu yako nimeimic mno

AdSense account for sale nicheki 0687 535650

Good info.

Nauza adsense wakuu mana hali ni tete

haha

Hosted au non hosted na ni sh. ngap

Hosted mkuu 30000

yani nikikumbuka watu tulivyokuwa tuna haha kujua mengi kuhusu blog,halafu Leo tuna tukizwa tuliiiiiiiiiiii
dah,inauma.

Kuna wazee bado wanapiga propeller humu?

Wengi wapo na wameshajiunga sema wamebadirisha Identity {ID}

Sawa

bado ipo??