Uzi maalum wakumshukuru aliyekupa taarifa ya uwepo wa JamiiForums ndani ya KenyaTalk

Huu ni uzi maalumu wa kumshukuru aliekutonya kuhusu uwepo wa jamii forum ndani ya kenyatalk…mpe credit zake aliekufanya ukafika hapa

Asante @Mzigua90 kwa kunipa taarifa

@Don Clericuzio nakushukuru kwa kweli kunitonya kuhusu hii kitu

Yaani members wa JF bana, thread inakoibuka hata hujui, na utashtukia hii imejaa balaa.

Hahah! Aiseee

Alienipa link humu ndan sjamuona mpka sasa ila asante @Paw

Si Bora Thread kama JF haitarud ndan ya Week from now Hii Kenya Talk itakua Tanzania Talk maana watu weng sana watajaa humu

kwa atakae leta watu zaidi ya 20 hapa anapata zawadi ya vocha hahahha

lazima ijae mkuu…na atakaepata credit nyingi lazima ninimreward mda wa maongezi

Aisee…haha mtaje tu mkuu

Hahaha kakutonya halafu kasepa

Sasa mfano, mimi nimemwita @Mzigua90, yeye akakuita wewe, @Raynavero, @Shunie, etc, nyie nao mkaita wengine si maana yake hapo mimi bado ninahusika?

shebymastory
from instagram

Namshkuru sana wakunyumba mwenzangu @Mzigua90 kwa kunipa taarifa na kweli Don we ndio kila kitu bila wewe tusingejua

hahaha hapo ingekua ni network marketing wewe ndio ungekua unapata commission ya maana hapo

Ashukuriwe huyo instagram

Food Chain.

Hahahaaa. Lol.

Shunie huyo ndio chaumbea

Shemeji yako huyoo :D:D:D

Ni nini eti?