Ume wa Kende sio Ume!

Ume ni uwezo wa kushughulikia jamii. Basi vipi uke? Uke ni uwezo wa kushughulikia familia. Kweli? Basi tuambie kuhusu utoto, ikiwa wajfanya mjuaji. Utoto ni malezi na mapendekezo kulingana na ume na uke.

Ndio, ume sio kende na uke sio titi nakadhalika! Wacheni utoto. Nchi za Ki Afrika zinangojea kuambiwa kama watoto! Na mzungu mwenye kende anawadhulumu kijinsia. Ndio, mmarekani ni kende sio ume. Ndiposa wanamumunya madawa ya kimapenzi ili wafire Wa Afrika eti ni mabibi zao!

*Ni Uume sio “ume” …UMEsikia?

Ahsante! Hata nashangaa mbona naandika. Afadhali nikuandike, uniandikie…

Haya Maneno Mazito ya Busara …

Marehemu Mwalimu Kambarage Nyerere hapo mwaka wa 1964 alisema wazi …

…" Ustawi wa Africa unahitaji mambo Matatu peke yake …
1/ Uzalendo.
2/ Siasa Safi.
3/ Viongozi Bora… "

Tafakari Hayo …

Nimeishi uzunguni muda mrefu. Nilitoka Afrika nikiwa upeoni ki ustarabu, ili nijiogeze ustarabu. Mimi siye yule wa kuzubaishwa na mishale au bastola.

Jikidhi Mwafrika! Usizubaishwe na rangi kikoloni! Niwie radhi…nimesahau kiswhahili!

Uke ni coomer

Kungekuwa na uwezo wa kutekeleza wazo hili kimsingi katika jamii yetu my fren tungekuwa mbali sana. Lakini ufisadi na kutokuwa na nidhamu, ikiwa na kibinafsi kama lengo kuu la kizazi chetu kimethiri jamii.
Unapojaribu kuungana na wengine, wanachukua fursa ya kutumia muungano kujipa faida. Lakini nimependa sana wazo hili, nitaliongeza kwa dhana yangu.

Hii ni nini?

Tunga sentensi bila maswali! Hi siyo darasa, na mimi siye mwalimu. Sote tunajieleza bila hofu eti kuna mtu atatukosoa!

Neno la mizizi hapa ni oga, katika Kiingereza ‘bath’. Mengine jijazie

Oh “nijiongeze”, pombe sio maji, na haiongezi maarifa!

Mwafrika ni MTU aliyechanganyikiwa hajijui hajitambui.

Uke ni “coomer” lakini kumbuka kuna watoto baada ya ngono. Lazima tuwashughulikie ikiwa tumekubaliwa na mama zao. Hamna haja ya kumzorotesha kiafya bibi. Mpe pesa na aende!