Huu ndio ukweli,
Mzee ana miaka 45 anaoa bint wa 24 , hapa lazima asaidiwe na wa nje.
Huu ndio ukweli,
Mzee ana miaka 45 anaoa bint wa 24 , hapa lazima asaidiwe na wa nje.
ww utakuwa unagongewa na wa nje, empty set kabisa
Tuacheni bana,ilimradi wenyewe hatujui inakuwa poa tu…
Aiseee
kizuri kula na nduguyo sio lazima ajue. Acha watu waishi kama watakavyo…sio kujibana bana tu
Rubbish.
unamsema mzee mengi au! anyway anicheat lkn nsijue…
Wanapata tabu sana…
Ingekuwa JF OG hii post ingekuwa kapuni
Mod wa JF hawapendi ujinga
Ewe dada mwenye suruali ndefu ya kijivu na shati la pinki umetokea wapi?
Katerero Bk
yeah walio wengi huwa hivyo Japo wazee wajitia kupenda ndogondogo ila hali halisi ndoivo love…
45 ni mzee kwani
Kwanini niende nje, ninatafuta house boy kijana handsome. Ni mambo ya self contained tu.
@Babu Asprin usipite huku mume wangu
Katerero kumbe ni sehemu…nilikuwa najua ni ule mchezo tuu…
Wewe si ulisema huwezi kufanya na house boy?!!
Kwakweli siwezi
Sipiti mama. Naelekea Jumuiya