Wakuu,
Suala zima la utafitaji wa pesa kwa sasa umekuwa ukiharibu mahusiano/ mapenzi.
Sasa hivi si mwanamke wala mwanaume muda wao mwingi wanapoteza kwenye kazi.
Mwanaume akirudi nyumbani kachoka mbaya hata gegedo halisimami.
Ukija kwa mwanamke naye hivyo hivyo amechoka mpaka ute wa uke umekauka.
Hapo kuna mapenzi kweli!
Doncute mwenyewe…
Ww ndo mko hivyo na mumeo…
Sio kweli mkuu, mapenzi ya sikuhizi kwa asilimia kubwa sana uharibiwa na utandawazi.
Mkishakuwa bize hivyo ni kiasi cha kuwekeana tarehe maalumu ya kazi,siku hiyo ikifika hakuna kisingizio cha kuchoka wala nini…
Nakumbuka enzi za ujana wangu hapakuwa na vitu kama sim, emails, telegram na vitu kama hizo. Sikuzile tulifanya kazi mikoa ya mbali na wapenzi wetu, na tulwasiliana kwa barua pekee ambayo pengine ilichukua hata mwezi mmoja kumfikia mpenzi/mke. Pamoja na hayo mapenzi hayakuharibika kwa sababu ya kazi ama umbali.
Sakayo
June 29, 2018, 7:42am
6
Kila kitu kina nafasi yake! Ni namna mnavyowekeana mazingira ya kuishi tuu
hiyo kitu haina uhusiano na kitu ingine yeyote…kama kweli mna mahaba ya dhati…mnaenda shambani asubuhi…mkirudi mchana kupumzika mnapiga mechi ya changamoto…mchana haooo shambani…jioni hiyoooo…cha kulalia swafiiiii…hapo ni mahaba na si ubazazi wa kimahaba…
Hili ni somo pana sana, si jambo la kueleza kwa mstari mmoja tu ukaeleweka, maana yapo mambo mengi yanayoweza kuathiri mahaba, kuwa bize ni sehemu ndogo tu…
wachache sana, kama ingekuwa ivo idadi ya watu ingepungua ref.japan, korea bt inaongezeka kwa kasi.
Hata nikichoka kusimamisha kama kawaida kazi haiwezi nizuia kugegeda
Ushimen:
Nakumbuka enzi za ujana wangu hapakuwa na vitu kama sim, emails, telegram na vitu kama hizo. Sikuzile tulifanya kazi mikoa ya mbali na wapenzi wetu, na tulwasiliana kwa barua pekee ambayo pengine ilichukua hata mwezi mmoja kumfikia mpenzi/mke. Pamoja na hayo mapenzi hayakuharibika kwa sababu ya kazi ama umbali.
Enzi za ujana wako lini?
Yaani mpaka barua imfikie Ulikuwa unachapiwa aisee
M
Doncute:
Wakuu,
Suala zima la utafitaji wa pesa kwa sasa umekuwa ukiharibu mahusiano/ mapenzi.
Sasa hivi si mwanamke wala mwanaume muda wao mwingi wanapoteza kwenye kazi.
Mwanaume akirudi nyumbani kachoka mbaya hata gegedo halisimami.
Ukija kwa mwanamke naye hivyo hivyo amechoka mpaka ute wa uke umekauka.
Hapo kuna mapenzi kweli!
Doncute mwenyewe…
Mapenzi hayaribiwi na kazi wala ubize
Mjr95
June 29, 2018, 1:07pm
15
Point yako ni ipi? Umetoswa?
hivi ni mapenzi kuvunjika au kukosa time ya sex??
Piga blowjob na ky mtumie.
Problem solved.
narumk
July 1, 2018, 5:22am
19
Hivi utalazimisha wakati mwanamke hana hamu?
Doncute:
Wakuu,
Suala zima la utafitaji wa pesa kwa sasa umekuwa ukiharibu mahusiano/ mapenzi.
Sasa hivi si mwanamke wala mwanaume muda wao mwingi wanapoteza kwenye kazi.
Mwanaume akirudi nyumbani kachoka mbaya hata gegedo halisimami.
Ukija kwa mwanamke naye hivyo hivyo amechoka mpaka ute wa uke umekauka.
Hapo kuna mapenzi kweli!
Doncute mwenyewe…
Eti kugegedana kwa ratiba siku hizi kama linavyopangwa kombe la dunia lifanyike kila baada ya miaka minne! Halafu mnasema kuchapiana kutaisha?