Watu bado wanalambishwa sakafu na deadly sweeps
[ATTACH=full]307633[/ATTACH][ATTACH=full]307634[/ATTACH]
Waingereza pia hawataki mcheso
[ATTACH=full]307635[/ATTACH]
Wakuvunja kabat nao hawajasazwa
[ATTACH=full]307636[/ATTACH]
hio ya eddie butita ni kali , heheheheh:D:D:De
Huyo was mwisho ameonwa ko
Sweeps galore. Hapa unazima kila kitu kwa shosho midia alafu unakuja na handle mupya kama ya wadau hapa kijiji
[ATTACH=full]307646[/ATTACH]
Juzi nilipiga Bibi ya @Mangele sweep hapa Ktalk aka delete thread na kunifungulia ingine akilia Kama Dem
Halafu wewe mwenyewe ukaenda kulilia mkubwa na thread ya @Sovereign2 ikango’lewa haraka upesi, yes we know you are very fearless. You don’t need other men to fight your battles for you.:rolleyes:
The going on …