tofauti ya apk na app ni nini

waungwana mnisaidie katika hilo.

dah ilo jina lako aisee ila aina noma tustik kwa mada

app ni kifupi cha application , mfano whatsapp, facebook ni app,

kila mfumo wa sim ( android , ios , windows, blackberry , etc )
hua na platform yake ya kutengenezea iyo app, unaweka ‘codes’ pale ukimaliza ‘compiler’ ina ‘attach’ ‘extension’ maalum kwa OS maalum

apk ni extension kwa android

ipa ni extension kwa iphone

exe ni extension kwa windows pc

xap ni extension kwa windows phone

cod ni kwa black berry

mf: whatsapp.apk, hii utairun kwa simu zenye OS ya Android

whatsapp.cod , hii utairun kwa simu zenye OS ya blackberry

Ahsante sana chief

Ok, sasa nimeelewa.