TLS yaeleza kuwa kuchukua pesa ya wakulima wa korosho ni makosa, vyama vya upinzani kutinga mahakamani kudai haki hiyo

Sakata la korosho limefika patamu…

Ndivyo tunavyoweza kuita hilo sakata la korosho lilpofikia, ambalo wabunge wa mikoa ya Kusini, bila kujali itikadi zao za kisiasa, waliliongelea kwa uchungu sana, katika kikao cha Bunge kinachoendelea, ambapo baadhi yao walitokwa hadi na machozi!

Hapo Jana Chama cha Wanasheria nchini (TLS) kilitoa taarinyinginezo…ambia serikali hii ya awamu ya 5 kuwa ni makosa makubwa kuichukua pesa ya tozo ya kodi na kuifanya “yao”

Wakiendelea kueleza zaidi, Chama hiko cha Wanasheria, walisema kuwa tozo hiyo ya asilimia 65 inapaswa irejeshwe kwa wakulima na hiyo ipo kwa mujibu wa sheria iliyotungwa na Bunge hilo hilo ya mwaka 2010

Kwa hiyo Chama hiko cha Wanasheria nchini kimetishia kwenda mahakamani iwapo serikali itaendelea na azma yao ya kutaka kuwapora wakulima hao wa korosho hiyo pesa yao

Muungano wa vyama vya upinzani vyenye wabunge Bungeni nao umetoa taarifa yao ikielezea azma yao ya kutaka kulifikisha suala hilo mahakamani ambako wanaamini haki itapatikana

Nimekuwa nikijiuliza hili swali, hivi ni kwanini nchi hii inaingia kwenye migogoro na wananchi wake kila kukicha??

Ni dhahiri kuwa hivi sasa watawala walioko madarakani wameshaanza kulewa madaraka na wanafanya mambo ambayo hata hayamo hata kwenye Katiba ya nchi na sheria nyinginezo

Tunaendelea kukuomba ewe Mungu wetu tufanyie wepesi wa kuiondoa serikali hii madarakani ili kuliepusha Taifa hili lisiingie kwenye machafuko

wamesgindwa kuunda vyanzo vypya ma pato la serikali sasa wanataka kuingia mifukoni mwa wananchi

Safi sana! TLS ingieni kwenye mapambano dhidi ya huyu mkwapuzi ambaye anataka kuwadhulumu Wakulima wa korosho haki yao 65% ya bilioni 200.

Huyu dikteta anajidai anatetea wanyonge lakini tangu aingie sera zake ni kuongeza umaskini wa kutisha dhidi ya Watanzania. Ukiangalia kwenye biashara wafanyabiashara wengi wanalia, ukwapuzi wa bilioni 16 za wahanga wa tetemeko, kuwanyima Wafanyakazi wa Serikali nyongeza ya mishahara kwa mwaka wa tatu mfululizo na sasa hili la kutaka kuwadhulumu wakulima wa korosho shilingi bilioni 130 za jasho lao.

jiwe maji yamemfika shingoni, alipoingia alidhani kuendesha nchi ni kama kuendesha familia tu, akakurupuka na miradi kibao ambayo hata hajui fedha zinatoka wapi mwisho wa siku anahaha kuiba huku na huko ili kuficha aibu. dikteta JPM acha kujifanya mjuaji wakati IQ yako iko “slightly above 70”. na CCM mkome na habari za majina ya mfukoni, 2020 tutawafunza adabu ninyi nguchiro

Kukopa/kukwapua fedha kwenye mifuko ya jamii huku waliopunguzwa kwenye ajira na wastaafu wakihangaishwa kupata mafao yao.

Aisee!..

Halafu huyu Magu huwa namshangaa sana anapojinadi kuwa yeye ni Rais wa wanyonge…

Hivi ni wanyonge gani hao ambao anadiriki hata kuwaibia pesa yao??

Mtu wa ajabu sana huyu Mkuu. Hajawanyia lolote Watanzania wanyonge zaidi ya kuwaharass, kuwadhalilisha kwa kila namna na kuwadhulumu haki yao. Kumbuka bomoa bomoa Mkuu. Watu walienda mahakamani na mahakama ikatoa hukumu kusimamisha bomoa bomoa lakini huyu dhalimu akadharau hukumu ya mahakama na kuendelea na bomoa bomoa.

Mtu wa hatari sana huyu na janga kubwa la Nchi yetu.

https://www.youtube.com/watch?v=SC_l1Lzn4BI

Hili suala naliona kabisa serekali ikiligeuza na kulifanyia propaganda ya kisiasa kwani wapinzani na TLS wamelishikia bango. Na huko mahakamani naona kabisa mahakama italifanyia kazi hili suala kwa shinikizo kubwa toka kwa jiwe.

Naam na huyu dikteta kwa jinsi alivyobaka uhuru wa mahakama anaweza kabisa kutoa maagizo kutoka mamlaka za juu hata kudharau hukumu kama ikiwa against Serikali yake dhalimu.

Walifikiri kwa ku mpyu pyu Lissu wameing’oa meno TLS.

Kabisa @Sky Eclat kumbe hawakujua kwamba kwa udhalimu wao wako Watanzania mbali mbali ambao hawafurahii udikteta uliokithiri unaotishia amani na future ya Watanzania hivyo wako tayari kuweka pembeni shughuli zao ili wapambane na huyu dhalimu mkubwa.

https://www.youtube.com/watch?v=PmmtgEJdTQs

https://www.youtube.com/watch?v=1sE7mSIAgPU

https://www.youtube.com/watch?v=wN_5X-EOmSs

Hivi zile mil.50 alizotuahidi atatupatia kila kijiji, tutazipata kweli kwa hali hii?

Hiyo usahau…

Huyo Magu anadiriki kunywa uji wa mgonjwa kweli!

Huyu jamaa hana huruma hata kidogo

Watu wenye chuki za kutisha, roho mbaya na dhalimu hawaoni aibu wala kujisikia vibaya hivyo kwao wao kufakamia uji wa mgonjwa ni kama kawa.

Du! Amefankamia uji wa mgonjwa!! Kweli jiwe ni hatariiii!!!

inasikitisha sana watu wanapiga sana kelele watu wanalia, lkn bahati mbaya sana tena sana jiwe hat likiwa mtoni haliingizi maji… tusitegemee jiwe akasikiliza

Mpaka kufikia mwakani mwishoni sgr itakua imekamilika mpaka kufikia morogoro;

https://www.youtube.com/watch?v=Ep_u6uE7OnA

TLS says cashew nut export levy could be demanded in court
Tanganyika Law Society (TLS) has said the Cashew nut Industry Development Trust Fund (CIDTF) can file a civil case against the government over unremitted cashew nut export levy.

TLS President Fatma Karume
BY Louis Kolumbia @Collouis1999 [email protected]

IN SUMMARY

A statement released on Wednesday, June 28, 2018 and signed by TLS President Fatma Karume says disbursement of the export levy is a legal issue that could be resolved in court.

Dar es Salaam. Tanganyika Law Society (TLS) has said the Cashew nut Industry Development Trust Fund (CIDTF) can file a civil case against the government over unremitted cashew nut export levy.

A statement released on Wednesday, June 28, 2018 and signed by TLS President Fatma Karume says disbursement of the export levy is a legal issue that could be resolved in court.
[B]
She said the Finance Act 2010 mandated the Tanzania Revenue Authority (TRA) to collect the export levy and remit 65 per cent of it to the CIDTF.

However, The Citizen understands that in December 2016, the government scrapped the CIDTF, disbanded its management for operating a Sh5 billion fixed deposit account contrary to a presidential directive[/B].

Announcing the government’s decision, Agriculture, Livestock and Fisheries minister, Dr Charles Tizeba, said the fund’s responsibilities were shifted to the Cashew nut Board of Tanzania (CBT).

But, TLS says since the Finance Act 2010 was neither nullified nor amended, TRA remained with the mandate to collect cashew nut monies and remit 65 per cent of them to CBT.

“We would like to clarify that judgment on the Civil Case Number 18 of 2001 was issued before enactment of the Finance Act 2010 and that the verdict had no position in the ongoing export levy debate,” reads part of the statement, adding: “The verdict on the said case is based on the relationship between the CIDTF and the CBT and translation of Regulation 21(1) of the Government Gazette Number 369 of 1996.”

According to the statement, issued following directives of the TLS governing council, the bar association of Tanzania Mainland informs the general public that the above aforementioned case did not invalidate part 4 of the Finance Act 2010.

Furthermore, the society notes that in order to strengthen the rule of law in the country, stakeholders involved in the debate should respect the law passed by Parliament unless they are amended or invalidated by the court.