The truth revealed: Kenya faked about Tanzania's truck drivers. All drivers test positive.. Mna roho mbaya.

Kama Luo hampendi Kikuyu…na Kikuyu hampendi…you think these kenyans can love Tanzanians… Yenyewe Makenya hayapendani…

Leo Nchi yetu ya Tanzania imefunga mipaka yake na Kenya kwa baadhi ya Mikoa. Habari kubwa Kenya Ni hatua hiyo ya Tanzania… Yaani huko Kenya wamechachawa haswa.

Ipo hivi

Kenya walikuwa Wana deal na Corona kwa mission kubwa mbili. Moja kuua kabisa Utalii wa Tanzania kwa kusema kuwa kila Dereva ana Corona that’s means kuwa Watalii watakuwa wanaogopa Sana kuja nchini. Wanajua tungefaidika na Utalii kipindi hiki ambacho wao wamejifungia.

Mission ya pili ilikuwa ni kutaka kupata fedha za IMF na kweli wamezipata tayari lakini Kitendo Cha sisi kuendelea na shughuli zetu Kama kawaida kimeonekana kina manufaa zaidi. Tayari Kenya wameshakopa USD 739 Milioni kwa ajili ya Corona. Hatua hii Tanzania waliikataa wao wameshachukua fedha hili ni deni kwa Taifa na Ni fedha nyingi sana.

Kuna Mwandishi mmoja wa Kenya anaitwa Gordon Opiyo ameandika kuhusu hatua hii ya Tanzania kufunga mipaka ameandika kuwa:-

Tanzania is hitting back. As I have been warning, we should be very careful about this Corona thing.

In my honest opinion, our Government is overreacting.We are over dramatizing Corona. I honestly doubt the figures “50 Tanzanians sent back” how comes Kenyans coming from Tanzania are turning out to be negative, and 90% of Tanzanian drivers are turning out to be positive??? Kwani Corona chooses Nationality???

I think the US and WHO are using us to stigmitize Tanzanians after Magufuli refused to play ball and roll over like a puppy.

Honestly, if things were that bad, even the Truck Drivers arriving from Tanzania would be telling us stories about seeing bodies rotting in the streets…

I honestly think that we can’t mess with our biggest trading partners like this, ata kama we are getting some token aid from United States and IMF.

Do you know that Markiti will collapse if we don’t get supplies from Tanzania?
Do you know that Onion prices will triple if we do not get supplies from Tanzania?
Do you know that 70%of the Oranges you eat come from Tanzania???

We will face severe shortage, because cartels killed the Agricultural Sector in Kenya.

I would honestly ask all our decision makers to stop the Corona games and start thinking about the economy.
Pesa ya IMF tushapata. Tuwache hiyo mchezo Sasa.

CHA KUSHANGAZA.

Dereva wa Kenya akija kuchukua mzigo Tanzania anaweza kukaa Hadi wiki lakini akifika mpakani kwao anaonekana ni Negative lakini wa Tanzania ni positive. Madereva wa Kenya na raia wa Kenya wanaorudi Kenya toka Tanzania hawaonekani wakiwa na Corona kwa maana hiyo Corona inabagua Nationality.

.

Fake people…fake you…ndiyo maana EAST AFRICAN Haiendelei kwa sababu ya mnaroho mbaya…mbwa nyie

There is an old Ktalk adage about being first to respond to your own thread.

Its akin to wanking to your own pictures.

But what would he know? He is Tanzanian :D:D

Who is touring at this moment?

I agree. Testing of Covid-19 is shrouded in mystery. Too many mistruths exaggerations and outright lies. It’s obvious Donald Trump is not in the Gates Fauci mainstream media plandemic.

Kenya needs to get serious about food situation. We cannot keep relying on Tanzania and now is a good time to learn some self reliance. If Israel can do farming then there is no part of Kenya that farming can’t be done.
We just need a better president to guide Kenya unleash it’s agricultural potential

Guys, let’s deny these mofos attention. When they post, watcha tusiweke comment hata moja. Tumwachie comments na hizo multihandle zake @mgosi na @fox21. They are adding nada to the village. Ni hate speech tu!

Huyo mtanzania ana point. tuwache ukijifanya wajanja. karata yachezwa hapa.

He may have a point, but how he puts it across, is the problem.

@administrator kwani ink ya equator iliisha ?? You cant just let folks tusi mama za watu hapa with reckless abandon.

stop insulting President Magufuli everything itakuwa poa hapa…Km mnatukana na kumdhalilisha our Beloved president lazma tuwatukane mbwa nyie

Kenyans walishatuona kama daraja la kupita for their own benefits… This moment we won’t accept.

natamani yule Rais wa Kagame amtukane JPM km alivyofanya kwa JK…tumnyooshe kwanza

Yaani Tanzanians took the policy of Herd infections, we took a policy of protecting our population. They want to walk into Kenya and spread infections with no restrictions… kwani sisi tuna kicha kukubali Corona ingie bila kujali kwajili waTz watakasirika…

Na wamekasirika juu ya nini? Magufuli made mass infection the policy for his people, Its Magufuli who refused to discuss border protocol, its TZ who have really blocked the border for goods, Yaani kukasirika kama two year old kids … Aissee
lets ignore these useless threads

Ya chick, you know nothing