TCRA yawataka wanaotumia mitandao ya kijamii kusambaza habari kujisajili

http://dar24.com/tcra-yataka-watumia-facebook-instagram-twitter-kujisajili/

1 to reply,
watumuaji?

Teknolojia IPO hatua 2000 wao wapo 2

Mh! Tunakoelekea, tutakuwa kama china ktk mambo ya mitandao na mawasiliano

Tabu yote hiyo ya nini? Si waseme tu ni marufuku kupost kitu chochote kwenye mtandao kinachomuhusu mtukufu, mfalme mweza yote bila kibali toka Magogoni.

Tusubirie JF itakapo ondolewa ban ndio tutajua hasa nini mpango wa serikali kuhusu mitandao ya kijamii maana naona kama wengine sasa wanaongezea chumvi…

Kwani kila mtumiaji wa mitandao hiyo si huwa anajisajili?

[FONT=courier new]Mbona ’ Headline ’ yako na ’ Content ’ iliyopo katika hiyo ’ link ’ uliyotuwekea hapo hata vina ’ logical connection ’ yoyote? Hivi Watanzania huku Shuleni na Vyuo Vikuu huwa tunaenda kufanya nini kama bado tunakuwa na upeo mdogo hivi wa Kifikra?[/FONT]

Hii haiwahusu watumiaji wa kawaida. Ni kwa wale wenye accounts wanazozitumia kutoa habari (kama channel ya tv hivi)

[FONT=courier new]Huwa nawapenda Watu ’ Genius ’ kama Wewe Mkuu na ndiyo maana hata Mimi hapo juu nimemshangaa mno huyo Mleta Mada @COARTEM . Alichokifanya Yeye ni ’ Kukurupuka ’ tu kuja kuanzisha huu ’ Uzi ’ huku ili mradi tu ’ aichafue ’ Serikali ya Tanzania kupitia ’ mgongo ’ wa TCRA ili afanikishe ’ chuki ’ yake dhidi yake.[/FONT]

Utandawazi una changamoto zake!

chukua mf. Itv wanakuambia " pia unaweza kupata habari zetu kupitia mitandao yetu ya kijamii mf fb, insta na twitter"kiufup sijui umenisoma au niandike essay?

Sijui nani ataikomboa nchi hii

Mimi na we we mkuu.

Sasa mtumiaji wa WhatsApp anasajili nini? Namba si imeshasajiliwa?

Hawa jamaaa kawa wamechanganyikiwa vile.

Mavi ya paka yanapochanganywa na miti ya hanjar na faijar na unga wa fuvu la kichwa cha mtoto mchanga(hajabalehe)mchawi huutumia mchanganyiko huo kuweza kuichukua roho ya mtu akiwa usingizni(kifo ghafla}na kumfanya msukule.

Ngojeni tu, hizi sheria watakuja kuzikanusha sasa hivi…

Nyingine hazitekelezeki… kwa sababu zinaminya kabisa hata mtu wa kawaida kujua kama je akipost ka video kake ka bibi yake kaja kumtembelea kwenye facebook yake ni kosa au siyo kosa…

Mwisho wa siku hata kupost status au video kupitia whatsapp nayo itaonekana kama kosa…

Cc: @Mahondaw

Malaika kazini

changamoto