Tbt pale nursery school

[ATTACH=full]448256[/ATTACH]

We never sang that song, hio wimbo hu sound tu nigerian.

Mama mzee tulia

Umesema unukishe kunyenye Leo sindio?

:D:D:D
Nursery, maybe, but not for you Chifu. This song became famous when Winners Chapel was a new sensation, not too long ago.

Oh Lordy…:D:D

Hii ni ya juzi

I was in nursery school in 1975

Shifo 1975? Kwani wewe ni musee kiasi gani but your handwriting indicates you are 39-43 years old

I am in my early fifties

Kwani nursery ilikuwa hiyo time? Hiyo song watu wa 8.4.4 ndio tuliimba kabisa, pamoja na ile ya "winner ee ee ee winner… Alafu mwisho ni…“mato mato you a forever winner”

Ilikuwa but we didn’t sing a lot of Christian songs. Most were nursery rhymes like Twinkle twinkle little star

Vitry vitry hallelujah jesus conquired the devil pata pata :D:D:D What am i even saying

Kama hukuwai recite Our Royalty pledge usiongee wazee wanapoongea kwa kijiji