Nimeiona taarifa ya Uongozi wa Jamji Forum ukisema kuwa watarudi hewani mapema kadri iwezekanavyo na imewashukuru wapenzi wa Jukwaa hilo maarufu la mtandao wa kijamii kwa kuwa wavumilivu
Nasi members wa JF tunawashukuru sana Uongozi wa JF kwa kuwa majasiri na kupambana na vitisho vyote vya utawala huu dhalimu usiotaka kukosolewa
Swala muhimu sana, Maana sasa ivi naona Jamii Forum aitakuwa Salama sijui Maxence Melo hataweza kuwaaminisha watu usalama wao au jukwaa LA siasa libaki uku. Kiusalama zaidi
Ndiyo hivyo mzee.
Tuachane na hayo, umesikia pia kuna forums kama JF imefunguliwa nchini Marekani?, inaitwa Bongo Forums, BF, wakuu kibao wameshajiunga.
hii sawa kabisa yote ya yote nafikiri usalama utazingatiwa kwanza kwa sababu hata za kufunga zilikuwa ni hizo hizo usalama wa watumiaji kwanza mengine baadaye