Sumaye anataka kuongea nini?

Nimepata habari kuwa Mjumbe wa Kamati Kuu ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) na Waziri Mkuu wa zamani wa Tanzania, Fredrick Sumaye atazungumza na waandishi wa habari kesho Jumatatu asubuhi nyumbani kwake Masaki kuanzia saa tano asubuhi. Je, ni ule muendelezo wa ‘Rudi Nyumbani Kumenoga’ au anataka kuongea nini?.. Stay tuned…

Juzi alisema kuwa sababu zilizomtoa CCM bado ziko intact, hivyo sidhani kama atahama au labda kama sababu zilizomtoa hazipo tena ie yale mabaya yaliyomtoa yamerekebishwa. Mashamba yake etc yanamuuma! Jiwe atakufa kifo kibaya sana kama Id Amin

Nitamsikiliza ila wanasiasa sina imani nao teeeena

Kwenye Siasa hakuna Adui wala Rafiki wa kudumu…Ukiwa huko Akili Mukichwa wengi wameumia…!!!

Ngoma inaendelea Kurindima na wimbo mpya unaimbwa sasa…umewaamsha waliokaa na kuingia kwenye Duara kucheza, Uangalifu unatakiwa cheza kwa Step Usijempa CHAMBI Mkweo tu…!!!

Huku hakuna mambo y kidole juu, weka point watu wacheue. Acha maneno ya midundiko. JF TZ sawa, huku tunatafakari kwa kina.

Ngoja tusubiri

Umeona eh, mimi nikadhani labda anaimba taarabu…

ANATULETEA TAARABU HUKU UGENINI. NAFASI HII TUNAITUMIA KUTAFAKARI NJIA YETU NA JIWE ITAKUWA IPI KWA MASLAHI YA NCHI YETU

Mimi nina imani na wewe tu

Kama unajua kutafakari huwezi kukosa point kwenye hili…wenye werevu wanajua namaanisha nini…Acha Uspoon feeding…!!!

Tatizo lenu hamujasoma Lugha ya Picha kwenye post yangu #5 hapo juu…Mkiambiwa Ngoma kwa Umbulula wenu Mnafikiri Ngoma ya kucheza…Mbona mnatia Aibu huku Ugenini…!!! Kambi za Wasomali Mutaziweza kweli…!!!

Bado una mdundiko na mipasho!

Acha povu wewe, mtu mwerevu hajisifii ujinga… Hueleweki unaimba mipasho, singeli au ndo dalili za kupumuliwa kisogoni…

Huyu atawaambukiza wengi sana virusi
https://scontent-lht6-1.xx.fbcdn.net/v/t1.0-9/38051009_653644238342795_6414869840846127104_n.jpg?_nc_cat=0&oh=583e71ec3c316ecb6f5901cca3c0dbe9&oe=5C11FBE7

:D:D:D…

To a usenge wako hapa

Kabla hajajitoa ufahamu na alikuwa wanatumia ARV sasa kavimbiwa hela za udalali kaacha kutumia dawa.[ATTACH=full]186906[/ATTACH]

I wish its true

Na wewe upo PANDE zile…Hufanani kabisa…!!! Kupanga ni kuchagua…!!!

LAKINI ASILIE MTU HUKO TUENDAKO…