Smart gyms

Smart gyms trainers are a rip off.

They charge 10-15k a month and are very rude

Why would a sane adult pay someone to train him on how to cut weight or keep fit?

He is not sane.

That’s how most them are. Ilibidi nijinunulie zangu personal.
Saa hii niko balcony nauma roller baada ya cardio na weights.[ATTACH=full]465311[/ATTACH][ATTACH=full]465312[/ATTACH]

In this day and age you don’t need a trainer. There are plenty of resources online to guide you with training, diet, and recovery. Trainers are only useful if you need motivation to work out or coaching for a competition.

Kwanza kabisa tulisema hii mwaka umalize kitambi

utafanya kazi saa ngapi chief

Hii kitu itakuharibu mgongo bure. Try HIIT workouts if you are trying to lose the belly.

I am the director passively running my 3 ranches, staff wanaelewa roles zao so kazi ni technical appearances once in a while.

Kazi kubwa iloyobaki ni kulea familia, kutalii kenya na Uganda na kunywa tembo.

Not really reducing the belly but maintaining the six pack, arms and waist flexibility

mungu angetaka tusiwe na kitambi ange extent ribcage. research inaonyesha watu wenye hupitisha 90 years ni wale wana mwili kubwa

What pisses me off about that gym is that they don’t have in house trainers to help for free. Their business model is flawed.

It seems those trainers are self employed there

@kush yule mnono usijifanye hujaona hii thread.

@Ndemakufu tulia buana … @sani ashaponga apo juu

Pharmacy lost weight after selling his mkia

[ATTACH=full]465724[/ATTACH]

[ATTACH=full]465726[/ATTACH]

:D:D

:D…na hii @PHARMACY ilifanyia elders nini banae? Hakuna siku inapitanga bila kutwangwa sweep

Chief chokosh