Jamani mwenye namba za steve mollel wamshtue akuje amalizie simulizi ya roho yake inadai
@Shunie mshtue @tater tumosa moneytalk
Jamani mwenye namba za steve mollel wamshtue akuje amalizie simulizi ya roho yake inadai
@Shunie mshtue @tater tumosa moneytalk
Kama kawaida yako, mamaa wa shughuli za simulizi za ukweli…
Hahaha nasubiri tukamilike tuanze team no arosto
Madame S upo?Nimerusha kitu huko,Dunia Haina usawa
Namba yake ya whatssup ni 0685758123
M
Mtafuteni atuletee mautamu huku.
Hahahahaha nipo jamani
We huwez mtafta kwani
Nitamtafuta nilikuwa busy
Atakuja taarifa ameshapata za huku
Mcheki na archduke wallah nafaaa
Haya nampata wapi mm huyo wewe ndio nilikuwa nakuona mnabebishana jamani tena mpaka nilitaka kukuuliza siku hizi umehamia hapa kule kwa mwanzo umeshatoka
nimefika mpenzi japo hili chimbo sikulijua mapema
Mmmhh.
Tangu nikuite unasema hujalijua mapema…
Niseme???
Hahahahhahahhaha kwanza samahani kwa kukujibu late mana was busy na sikukuu ndugu yangu me na bailly tulishaachana kwenyemwezi wa nne hivi
Karib sana mnirushe roho
sema mpenzi
:oops::oops::oops::oops::oops::oops::oops::oops::oops::oops::oops: