Sijawahi understand relationship ya Ktalk na JF!

Hii place huwa ni ya nini? Exchange program ama?! I have not seen JF doing the same for KTalk kwao. I have searched for any official announcement ya hii symbiosis, sioni

Mtu anichanue

Mfano Leo JF imeminywa Tanzania sasa napata wasaa wa kuja kuvinjari Kenya Bila Visa. Ninyi Tembeleeni Tweeter na mlete huku updates za Uchaguzi. Huku wameminya kila kitu.