Nipo zanguh kibanda umiza hapa nacheki ufunguzi wa fainali za kombe la dunia.
Akili yangu yote ni kumuona yule msanii mkubwa Africa (Diamond Plutnumz) akiperform.
Mbona jamaa simuoni,wale mliotauambia huyu star ataperform kwanini mlituongopea?
Nipo zanguh kibanda umiza hapa nacheki ufunguzi wa fainali za kombe la dunia.
Akili yangu yote ni kumuona yule msanii mkubwa Africa (Diamond Plutnumz) akiperform.
Mbona jamaa simuoni,wale mliotauambia huyu star ataperform kwanini mlituongopea?
Cc:Hance mtanashati
Unaangalia tv gani wewe… huoni yule kakaa karibu na Putin
ndani ya kanzu sio
Ataperfom siku ya mechi ya fainali
ha ha ha nimemuona yule pale pemben
Nimemuona kagame.
Usifanye masihara na kuperform world cup opening ceremony…mfano ile ya uefa final aliperform dua lipa huyu mwanadada ana nyimbo ina 1+billion views on youtube
Bado tuna machungu na hao malaika waliotuzimia mtandao!
Hana utofauti na msagasumu wote waliangalia ufunguzi kwenye tv
dogo misifa mingi inazidi wakati haina ukweli
:D:):D:):D:) Teh teh teh…
msaii mkubwa afrika
what a fuuuuuuuck
Hutaki au?
Aiseee
Nabii hakubaliki home
Team wcb walituongopea
kapimwe macho
C:Joel sandu