Shanties investment... WARNING

[MEDIA=facebook]744556319525766[/MEDIA]

@Agwambo is our resident slum lord .Atwambie ground iko aje

Hizi zinataka utumie mungiki tactics, diplomacy haitakusaidia.

Huyo ni slum lord wannabe. Hakuna kitu anajuwa. Labda aitwe lanye lord

My cousins have them in baha/kanaro na wanakafunga mbaya…

Si ulisema ni Dandora phase sijui 5

You invite the craziest tenants with nothing to lose, hata ukimfungia

Wanatumia agent kuchukua rent?

No agent… they have ruthless caretaker.

Ghaseer niaje

Hapo unang’oa mlango na mabati tenant akichelewa. And you’re likely to deal with crude people who load luggages, bar maids, makanga, goons etc

Tenants wangu ni ma konkodi na madere sacco za lakenya,stmary’s na karuri.Kuna caretaker kiasi yake ni kufwatilia mambo ya rent na kuniwekea kwa mpesa.Ukichelewa kulipa (after 5th) unapata kifuli kubwa kwa mlango.Hatusumbuani.

Weka lodgo na malanye

Lodgo ya 200/ for 30 minutes iko sawa. Otungu inanuka sawasawa

Nashindwa nini hio nyangumi inalalamika nini. Just because haikuwork kwake doesn’t mean all others are failures

Ni kama biashara ya matutu watu watakushow haina pesa but on the flipside guys have built multi million businesses on back of matutu business… kila biashara iko na ujanja yake.

True. Thats why hapa unakubaliana na mawaidha ya biashara shingo upande

Ungwaro mpaka agents wako na ‘super-agents’ wa kuingia izo slums na kuokota rent either the easy way or the hard way

I have a feeling @Abba amejaza inherited plot yake huko Mumias na hizi vitu. Na kaa 80% zimerentiwa na mapoko wa hapo Mumias.

Na wengi wao hawalipi rent juu ni bibi za @Abba . Hata saa hii ako huko. Alidanganya bibi lunchtime ati ameenda kuwekea tenant stima na bado hajarudi hadi saa hii.

:D:D:D you are a funny asshole