Sababu tano za kuchagua mtandao wa Telegram

  1. Telegram huhifadhi vitu mtandaoni na si kwenye simu. Waweza pokea nudes kutoka mpango wa kando na mke wako akienda gallery hatakushuku.

2.Waweza tuma faili kubwa kwa Telegram ukilinganisha na WhatsApp.

  1. Mawasiliano ya siri. Mtu akichukua screeshot ya mawasiliano yako unafahamishwa mara hio hio. Pia waweza weka timer kama ya sekunde tatu ikawa ukiongea na mtu na hutaki ahifadhi meseji basi timer itakapokamilika meseji hujifufa.

  2. Waweza unda kundi la wanachama 5000 au hata zaidi kwa super groups. WhatsApp huwa ni 256.

  3. Waweza jisajili bila kutumia nambari ya simu.

Watanzania tunazidi kutua umu Kenyatalk
Kwa kifupi telegram wapo vizuri sana. Sema watu tuna kasumba ya kukariri tuuu

Telegram ya ukweli sana

Hata mimi nimeiona

Japo nipo kwenye Telegram mwaka wa 3 huu, hili jambo sikulijua.

Nipe maujanja mkuu

Safi

UKitaka kutafuta channel ya telegraph unafanyeje au mpka utumiwe link husika.?

Hata mimi sikupata kulifahamu hili, nadhani wakati inaanza hizi features hazikuwepo!

Leteni links za channels tu join up

Ushajua namna ya kutengeneza account bila kutumia namba ya simu?

Sijaifahamu hiyo mkuu, labda kwa sababu mimi tayari nimejiunga!

Ninachojua ni kutengeneza username ambayo mtu mwingine anaweza kuitumia hiyo kukutafuta hata bila kujua namba yako. Lakini hii lazima uwe umejiunga tayari.

Hii si ni ile ya kuanza na @ ?, hii naijua

Ni hiyo.

Wakuu leteni links za group na channel za Tz tu join

Unandikaje kwa ujumla mkuu…naomba mfano.

Nenda kwenye Account yako, bonyeza stting, itaonekana sehemu imeandikwa [COLOR=rgb(226, 80, 65)]Info [COLOR=rgb(0, 0, 0)]ambapo[COLOR=rgb(0, 0, 0)] [COLOR=rgb(0, 0, 0)]kuna sehemu ya phone number na username, utaandika jina lolote kwenye username na utasave halafu yenyewe itaonekana kwa kuanza na @ halafu inafuatia username

Asante mkuu

Sikulifahamu hili.

kumbe ni nzuri ivi