Rigathi vs Karua

Rigathi namaliza Karua…Aiiiii

Facts are hard to cover.

Raila angechagua Justina banae.

Waturedio pin this thread na sio tafadhali,najua umejificha for your team is performing below the par

It seems by the end of the debate there won’t be any karua remaining

watu wa yUDA ndo hao

Gachagua propaganda expert. Hakuna debate hapo.

UDA ndani ndani ndani

Unfortunately, that is what sells or what the masses pick, he is already pinning the bad governance by Konyagi’s govt on Karua and sort of exonerating Arap Sugoi.
She can quote constitution from here to Timbuktu but raia pana tambua hiyo.

I wasn’t expecting this. Gachagua amechambua propaganda proper the whole month

Gashagua is just concentrating on personally attacking Karua.
No policies .
I see Karua trying hard to avoid personal confrontation.
Gashagua is a thug.

jamaa anaulizwa what is the source of his money…hehehe

assmio minions wamekunja mkia:D

Amesema yeye ni project ya Kenyatta :D:D

Kana ka maumau

Tuko hapa.
Tupatane kwa debe.

Hilo swali limeleta story nyingi sana from Gachagua :smiley:

Sasa karua anataka kulia:D:D:D

maneno miingi ya kuficha ukweli

Karua aliibiwa marking scheme lakini bado. You can see the iq difference. And those mfs are biased

Malisaàaaa.
Karua unleashes an uppercut.

bado tuko
Gachagua alitoa pesa wapi…anga uhuru, anga police, anga…, anga…

Gachagua :D:D:D:D:D:D
Policemen do not understand accounts
:D:D:D:D:D:D:D:D:D:D