Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, atafanya ziara ya kikazi nchini Kenya siku ya Jumanne.
Rais Samia atakuwa katika ziara nchini humo kwa siku mbili ambapo atapokelewa na Rais wa Kenya Uhuru Kenyatta.
Akiwa nchini humo atafanya mazungumzo na mwenyeji wake, Rais Kenyatta kisha atalihutubia Bunge la Kenya litakalojumuisha Wabunge wa Mabunge yote mawili ya nchi hiyo. Taarifa ya Ikulu nchini Tanzania imeeleza.
Aidha, Rais Samia atahudhuria na kuhutubia mkutano wa jukwaa la wafanyabiashara wa Kenya na Tanzania utakaofanyika jijini Nairobi kwa lengo la kujadiliana masuala yahusuyo fursa za kibiashara na uwekezaji zilizopo nchini Tanzania na Kenya.
We always have respect for Tanzanian leaders, Kwanza mama Suluhu has been given a high state honor and will address parliament, the last time the Somali guy came to Kenya Uhuru Kenyatta and Raila met him secretly in a hotel, in the DRC he was received by less than 5 people
Muulize kwa niamba yetu anakuja huku kufanya nini,sisi ni maskini na tuko na madeni kibao,na ataambukizwa uKibera.
Akae kwake huko kuzuri sisi tukae na njaa na umaskini wetu
Samehea hiyo ghasia,inafikiri kuongea mbaya mbofu na kulala Hilton kuna badilisha yaliyo kwa ground.
Wako na deek measuring competition mingi sana na ilhali wamejileta wenyewe hapa kwetu
Wacha walalamike kana kwamba nchi nzima ni wanawake tu,Sisi Vifaranga tulishachoma na ng’ombe tulipiga mnada,Mnatakaje tuwapige na fimbo ili tukamilishe hat trick yetu kwao