Raila is BLIND

Senior Nairobi Beta Male Donald Kipkorir alikosana na Chris Kirubi sababu ya msimamo wake wa kusupport Baba. Chris Kirubi alichukia mtu yyote mwenye alipenda Baba.

Leo, ata kabla mazishi na maombolezi iishe, Polycarp Igathe anakusanya marafiki zake kula mbuzi na Baba, kudanganya yeye eti wanamuunga mkono, kwani wamebadilisha msimamo haraka aje?

Mipango za Kirubi na Igathe zilisambaratishwa na Sonko, ikabidi waitishe usaidizi kwa jeshi, sasa Igathe bila Kirubi watawezana na Ruto kweli?

Vitu zote zenye baba aliongea kwa io mkutano, kuhusu wale wanabiashara agents ya foreign owners of capital, kirubi alikua agent namba 1 ya foreign owners of capital.

Kutoka Bayer hadi General Motors hadi Coca Cola.

I actually felt likr tinga was taking a dig at dj ck posthumously…and considering birds of a feather clock together…the rest of the cabal that attended the service.
But i do agree tinga is blind.

Kiswahili mufti kijana

Raira wirru nefa be plesindent

raira for plesdent 2022… one term only then apumzike