Princess Qajar. A symbol of beauty in Persia. 13 young men killed themselves because she rejected them.

Yaani wanaume kumi na watatu walijitoa uhai kwa kukataliwa na hiki chuma.

https://i.stack.imgur.com/uYgO2.jpg

http://en.dailypakistan.com.pk/wp-content/uploads/2016/08/news-1471345433-1502.jpg

https://misteriosdomundo.org/wp-content/uploads/2017/09/8-21-2.jpg

hao wanaume walikuwa mashoga au macho yangu yanahitaji msaada wa VAR?

Hapo naona sifa ya u princess tu ila ninachokiona kinasikitisha.

Nadhan kilichowavutia hapo ni pesa au waliuliwa baada ya kumkataa wakasingiziwa wamejiua kisa yake

Nimecheka sana baada ya kuiona hii picha

Duh! :oops::oops::oops:… Kama ni kweli basi watakuwa walishikiwa akili!..

Kipipa kama hicho wala nisinge thubutu, bora hata kingekuwa modal flani hivi vimodal vya kiarabu vina noga sana

hahahaaa siez nkawajudge sababu sijajua walimpendea nin, enzi hzo mapenz yakiitwa mapenz kwel.

Huyu ni me au ke, Wanaume mna taabu sana

Hilo ni dume mbona?

Cc: @Mahondaw

smart huyo ni ke au me?? duhhhhhhhhhh!!

Hao ndo wanaume sasa

hahahahahaha.hakuna mrembo hapo,nakiona kifutu tu.hahahahahaha

Hahaaaaaaaa

Mkuu umekosea kuweka picha au ni nini?