Parapanda

Umepigwa marufuku na basata

Nasikia Basata wamekanusha…

Ni kweli wamekanusha ila Roma na mwenzie wanazo barua. Awamu ya v-wonder

Lazima wakanushe wanajiona wako mbali na wananchi na chaguzi zinakuja

Hehehehe…awamu hii ni shida kubwa sana hawaoni kuwa wakipiga marufuku ndo watazidi kuupa umaarufu parapanda nimeona JF kule nyumbani Nyani analalamika hatari kubwa.

:D:D:D Jamaa wameua waliposema “Baraza lipo lakini wasanii wanakaa uwani”…

Pumbavu zaooo

Nilijua hilo litatokea…

Cc: @Mahondaw