Ona huyo

Sirudi Tao, Form kali ziko ushago.

we can tell madem wa ushago from a mile away

Wewe hujui kitu unasema. Ushago hakuna warembo. Labda siku za holiday hivi ama colleges zikifunga.Warembo wako mijini.

Nonsense

huyu hajui nini anasema…tembea pale moi avenue , tom mboya jioni utatiii dadii

Ni ukweli.

Any major street of Kenyan towns huwa na warembi wengi sana. Kwa village ni vigumu kukutana nao hata market day ni mmoja mmoja.

Hiyo make up yote na nails mtu wa ocha? wacha bangi gathee

[MEDIA=instagram]Bwt_FzEJUGK[/MEDIA]

U

Ukirudi tao ukifunze kuweka mbisha

background ya kichaka, nyasi pia mnakuanga nayo tao?

Alaa! bana unakulanga hapo?

buda wanaKT wote washatazama na wakaosha mecho isipokua wewe tu, nanadhani sababu ni uvivu wa gadget ile unatumia ku login to Ktalk. usinilaumu

Shait. I should not have seen this!!

Arimis

Hivi Kenya kuna warembo kweli? Been there before ila sikuona manzi mkali. Hell no!