NYS

So leo nikama NYS wako na operations za KPLC side zetu. Saw mwengine msawa but alikuwa kwa hio group kubwa yao so talking to her ingekuwa noma. Went ahead apo kwa stage nikapata mwengine ka brown skin anabrowse phone. Apa nikasema siwachi. Started ma small talk huku huku for like 20 minutes then nikaitisha number. Hii mali mpaka nikule before chrisi ata kama mapolisi wanakulanga apo NYS. By the way, all of them were very young, vitu za around 21 apo

Kuna morio wangu wa NYS alini-show wao hujionea vituko wakati wa training…sanasana zile morning runs. Unapata dem mrembo kama huyo amepigishwa tizi mpaka anajikojolea, anajiharia, ama kutapika. Yaani anaishiwa nguvu mpaka muscles zote zina-relax na kuskuma kila kitu nje. But inasaidia pia na bonding/team building juu dem umeona akiwa amejiharia haezi kuringia.

Halafu wakiingia huko wao huambiwa wa-imagine hao madem wote ni maliar, so ukipata wako anamangwa usicatch feelings na kuanza vita za kipuzi. Lakini jaribu bahati kiongos. Chukua slices ukiwa ume-set coordinates za karura.

Urembo najua sijaona pekee yangu so cd lazima iwe mpangoni. Karura nimeshaweka coordinates kwa gari so when the day comes itakuwa tu autopilot

Na wewe iwe mtu ya mazoezi usichoke kabla yeye

Mazoezi nachapanga, lift weights 3 times a week so strength iko sawa, skip for 30 minutes continuously 3 times a week so cardio iko sawa and make sure I average around 10k steps per day

Hiio training yao ni kali, but Sidhani inafikia ya ma kdf. There was a time nilikua natumia eastern bypass everymorning around 5am nakutana na makurutu wamekonda wamebebeshwa mtungi za maji za twenty litres and they are supposed to jog from roundabout ya kuelekea simba villas going back to their camp in utawala. Wenye wamelemewa wamelalishwa chini Kandi ya barabara wakikulishwa ma nyahunyo wenye hawajalemewa sana wanafanyishwa frog jumps on the spot kabla wachukue mtungi tena wakijog. Mwingine naye aanalia kama amepiga magoti akichapwa ma nyahunyo aki block na mkono. Ile Niliona ikiwa ile weeping and gnashing of teeth wanasemanga kwa baibo.

1 Like

Wapi mbisha nilete bei

1 Like

Mbisha ntaleta nikiwa Unknow Flying Object huko karura

Some muslim women from Eastleigh love NYS boys huwatumia kama socks… 3days kwa lodging, these women wanaleta hadi food na hotpot …i remember nikienda kuosha rungu, yaani kajamaa hadi kanachapwa kaende raudi ya nne saa hizo kamechoka kama admin akidelete threads za Viagra

:D:D

Raindu ya nne inakuanga noma kama ni quality rounds unachapa