Nini Husumbua Watanzania Haki

Nini husumbua wa TZ haki? Kuna kaujinga hawa jamaa huwa nayo that borders on hilarious.
[ATTACH=full]369104[/ATTACH]

ni kama alitandikwa banae:D:D:D

I would have done the same. Nini analeta kiherehere mujamaa akiwa gym

:D:D:D Gym siyo? Wenzenu waliokubali masomo wainua vyuma.

Great acting:D

:D:D:D:D:D Ati alienda shule kutongoza wasichana

Twice hii kijana imewekwa kijijini. I sense a marketing ploy